Siku ya 39 Maombi Kuna Zaidi Ambazo Mungu Anazotaka Kwako
Hutamkwa mara nyingi miongoni mwa Wakristo, “Sisi hatuko chini ya sheria, bali chini ya neema.” Na hili ni kweli. Msalaba wa Kristo umetutoa kwenye mzigo wa sheria ambayo ilionyesha dhambi lakini haikuweza
